Monday 24 February 2014

SOCHI 2014: CANADA YAMCHAPA SWEDEN 3-0


Canada ilitetea medali zake jana baada ya kumchapa Sweden 3-0 huko Sochi Urusi...Sasa kati ya Olympic nne wameshinda Gold Olympic 3 na kuwa wakali wa dunia katika mchezo huo wa Ice Hockey...Ice Hockey ni mchezo wa Canada wa Taifa na wamebobea sana....

Wafungali walikuwa Jonathan Toews kipindi cha kwanza na pia Sidney Crosby ambaye ni Captain alipata goli kwa mara ya kwanza kwenye mashindano hayo na pia Cris Kunitz alipachika bao...Michezo hiyo ya Sochi pia iliisha jana kwa show kubwa nzuri ya kufunga mashindano hayo...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment