David Beckham ambaye alikuwa mchezaji maarufu sana duniani na England Captain ameanzisha timu mpya ya mpira huko Miami Marekani...Timu itakuwa inacheza kwenye ligi ya MLS (Major League Soccer)...Commissioner wa soka marekani amesema ni mara ya kwanza mchezaji kuanzisha timu yake...Beckham amekataa kutaja wachezaji wa timu yake lakini amesema watu wengi wanataka kuja kujiunga na timu yake...Pata habari zaidi hapa...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Thursday, 6 February 2014
MLS: BECKHAM AMEANZISHA TIMU MPYA MIAMI
David Beckham ambaye alikuwa mchezaji maarufu sana duniani na England Captain ameanzisha timu mpya ya mpira huko Miami Marekani...Timu itakuwa inacheza kwenye ligi ya MLS (Major League Soccer)...Commissioner wa soka marekani amesema ni mara ya kwanza mchezaji kuanzisha timu yake...Beckham amekataa kutaja wachezaji wa timu yake lakini amesema watu wengi wanataka kuja kujiunga na timu yake...Pata habari zaidi hapa...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment