Friday 14 February 2014

NBA: WADE ANAWEZA KUKOSA ALL-STAR GAMES


Mchezaji maarufu kutoka Miami Heat, Dwyane Wade, anaweza kukosa All-Star games ambazo zitaanza hivi karibuni. All-Star games michezo mbali mbali inayohusu basketball ambayo inajumuisha wachezaji wakali sana na pia wachezaji wapya wa mwaka wa kwanza (rookies)...Wade anatatizo kwenye mguu la 'aggravated nerves' ambalo linafanya mguu unakosa fahamu...Wade alikosa game dhidi ya Golden State Warriors kutokana na tatizo hilo...

No comments:

Post a Comment