Thursday 20 February 2014

SOCCER: JUVE YAONGEZA KASI YA KUMSAKA VERRATTI


Juventus sasa imeongeza kasi ya kumnyakua Marco Verratti midfielder kutoka Paris Saint-Germain...Verratti pia anafukuziwa na Manchester United...PSG wametuma scouts kenda kumcheki na habari hizi zimetoka kwenye gazeti la L 'Equipe...Lakini huyu dogo kutoka Italia ametia saini extension ya mkataba ingawa alipata tabu kutulia Ufaransa...Dogo alitokea Serie B timu ya Pescara mwaka 2012 na alikuwa anatarajiwa kuwa the next 'Andrea Pirlo'...Ngoja tuone nani atamnyakua dogo kwenye transfer ya kati ya mwaka...Endelea kusoma Max Sports upate habari mpya mpya upesi...

No comments:

Post a Comment