Friday 28 February 2014

DUBAI TENNIS CHAMPIONSHIP: FEDERER ATAKUTANA NA DJOKOVIC NUSU FAINALI


Roger Federer atakutana na namba 2 duniani Novac Djokovic kwenye nusu fainali ya michuano mikali ya Dubai Tennis Championship baada ya kumchapa Lukas Rosol kutoka Czech 6-2, 6-2...Watazichapa leo kwa hiyo usikose kuicheki hiyo mechi kali sana kutoka Dubai...

No comments:

Post a Comment