Monday 17 February 2014

FA CUP: ARSENAL YAMTOA LIVERPOOL KWENYE MASHINDANO


Arsenal jana ilipata muda wakulipiza kisasi kutokana ka kuchapwa awali na Liverpool...Arsenal ilishinda 2-1 kwenye game kali ya round ya 5 ya FA Cup Emirates Stadium jana jioni...Oxlade-Chamberlain alipachika goli kwenye dakika ya 16 tu baada ya kupata loose ball...Pia alisababisha goli la pili mwanzoni mwa kipindi cha pili baada ya kipiga cross ambayo ilimkuta Lukas podolski ambaye alichapa mkwaju kutoka yadi 15 na tutingisha nyavu...Livepool walipata goli lakufutia machozi baada ya Steve kupata bao la penalty...dogo wa Arsenal, Yaya Sanogo, ndiyo alikuwa gumzo jana baada ya Arsena Wenger kumuanzisha na kuacha mashabiki wakishangaa dogo akisumbua sana lango la Liverpool mapema sana...  Bofya upate habari zaidi hapa...

No comments:

Post a Comment