Wednesday 19 February 2014

UEFA CHAMPIONS LEAGUE: BARCA WAIZIDI MAARIFA MAN CITY



Manchester City jana walichapwa na Barcelona kwenye mechi kali ambayo iliona Barca wakidominate na Man City wakikosa chances nzuri zakufunga...


Baada ya kutoka sare dakika 45 za mwanzo Martin Demichelis alipomkwatua Messi mara baaada ya mwanzo mwa kipindi cha pili na kupewa kadi nyekundu na ikabidi aende akaicheki game nyumbani kwake...

Messi akaamka akajipangusa alafu akapachika penalty ambapo Joe hart alikasirika kwanini ameshindwa kuzuia shuti la Messi...Dani Alves mwishoni akapachika la 2 na kufanya mlima uwe mkali kwa Man City...

No comments:

Post a Comment