Wednesday 12 February 2014

SQUASH: NICK MATTHEW AMCHAPA BINGWA WA DUNIA ASHAOUR NA KISHINDA SWEDISH OPEN


Nick Mattew amemchapa bingwa wa squash duniani Ramy Ashour katika game 5 kali sana na kuchukua ubingwa wa Swedish Open...Matthews kutoka Uingereza ameweza kupanda na kuwa namba 1 sasa kutokana na ushindi huu huko Linköping, Sweden....Matthews alitumia dakika 91 tu kumchapa Ashour 11-13, 11-6, 11-8, 6-11, 11-4...


Ushindi huu unakuja baada ya kuweka historia ya kumchapa Gregory Gaultier  kwenye pambano kali ambalo wote walikuwa ranking sawa...Ni mara ya kwanza mabingwa wenye ranking sawa kupambana...Bofya hapa upate habari zaidi za mabingwa wa Squash

No comments:

Post a Comment