Thursday 20 February 2014

UEFA CHAMPIONS LEAGUE: ARSENAL YAFUNGWA NA BAYERN


Arsenal jana usiku ilishindwa kuwafunga wajerumani Bayern Munich...Game iliisha 2-0 baada ya kuona mpira mzuri kutoka timu zote mbili lakini Arsenal ilizidiwa kutokana na kutolewa nje kwa kipa wa Arsenal, Szczesny, kwa challenge ambayo refa aliona ni hatari na kutoa kadi nyekundu lakini haikuwa hatari kihivyo...Mesut Ozil alikosa penalty na pia baada ya kadi nyekundu David Alaba wa Bayern alikosa penalty baadaa ya kugonga mwamba...

Goli lilipatikana dakika ya 54 baada ya shoti zuri kupigwa na Kroos na kufanya kipa wa ziada Fabianski...Goli lingine lilikuja dakika za mwishoni baada ya substitute Thomas Muller kufunga...Sanogo pia alianza na kusaidia sana Arsenal lakini alishindwa kupachika mpira wavuni...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment