Wednesday 26 February 2014

UEFA CHAMPIONS LEAGUE: MAN U WACHEZA OVYO NA KUCHAPWA BILA UBISHI NA OLYMPIAKOS


Manchester United jana usiku ilicheza mpira mbovu sana na kujikuta ikuchapwa na Olympiakos mabao 2 kwa 0...Timu 16 zimebaki na sasa itabidi wajitahidi mzunguko wa pili...Mnamo dakika ya 38 Alejandro Dominguez alipachika goli na baadae Joel Campbell ambaye yuko kwa loan kutoka Arsenal alichapa la pili dakika ya 54...Man U hawakuwa makini kabina na kupotteza mipira sana na pasi hafifu na juu ya hapo muda wote wa game wamapata shot 1 tu golini...Refa nae alikuwa sio mtu wa kutoa toa kadi ovyo alikuwa mtu wa kazi na alipeta faulo nyingi za pande zote kwa ufupi alitaka watu wacheze mpira na sio kulalamika kila wakati...Bofya hapa upate mengineyo yaliotokea jana...

No comments:

Post a Comment