Monday 24 February 2014

VPL: SIMBA YASALIM AMRI KWA JKT RUVU


Simba Sports Club wana wa Msimbazi jana walishindwa kunguruma dhidi ya JKT Ruvu kwa kuchapwa 3-2...Bao la kwanza lilitoka kwa Hussein Bunu baada ya pasi kali kutoka kwa  Mbaga...Simba waliamka kipindi cha pili na kuchuza vizuri kidogo lakini hawakuweza kushinda...Sasa matokeo haya yanaiweka Yanga nafasi nzuri ya kusogelea kombe mara ya pili...

Squad zao zilikuwa kama hapo chini...

Simba: Yaw Berko, William Lucian 'Gallas', Henry Joseph,  Joseph Owino, Donald Mosoti, Jonas Mkude, Awadh Juma, Said Ndemla, Amissi Tambwe, Amri Kiemba, Haruna Chanongo.

JKT Ruvu: Shaaban Dihile,  Damas Makwaya, Edward Charles, George Minja, Salum Mtaki, Nashon Naftali, Amos Mgisa, Emmanuel Swita, Idd Mbaga, Hussein Bunu, Sosthenes Manyasi

No comments:

Post a Comment