Friday 21 February 2014

NBA: LeBRON AUMIA KWENYE GAME



LeBron James wa Miami Heat aliumia na kutoka damu kwenye court kipindi cha nne wakati wakicheza na Oklahoma City...LeBron aligongana na Serge Ibaka na kujikuta akiangalia sakafu ya court wakati damu zikitoka...Hii ilitokea kipindi cha nne dakika 6 kabla game kuisha wakati LeBron James akienda kufunda goli akakutana na kipepsi (elbow) cha Ibaka na ndio damu zikaana kutoka nyingi kwenye pua...LeBron kabla ya tukio hilo alikuwa na points 33 na walishinda game 103-81...

No comments:

Post a Comment