Afisa habari wa TFF, Boniface Wambura, amesema Emanuel okwi kutoka Uganda sasa ruksa kusajiliwa na Yanga...Maagizo hayo yametoka kweye shirikisho la soka duniani FIFA kwamba Okwi sasa yuko huru kusajiliwa na Yanga...Okwi alitoka Sports Club Villa ya huko Uganda na kujiunga na Yanga lakini usajili wake ulizuiliwa...Okwi hakuelewana na timu kutoka Tunisia Etoile Du Sahel ndio akajishkiza S.C. Villa...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Friday, 14 February 2014
VPL: OKWI RUKSA KUICHEZEA YANGA
Afisa habari wa TFF, Boniface Wambura, amesema Emanuel okwi kutoka Uganda sasa ruksa kusajiliwa na Yanga...Maagizo hayo yametoka kweye shirikisho la soka duniani FIFA kwamba Okwi sasa yuko huru kusajiliwa na Yanga...Okwi alitoka Sports Club Villa ya huko Uganda na kujiunga na Yanga lakini usajili wake ulizuiliwa...Okwi hakuelewana na timu kutoka Tunisia Etoile Du Sahel ndio akajishkiza S.C. Villa...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment