Friday 14 February 2014

VPL: OKWI RUKSA KUICHEZEA YANGA


Afisa habari wa TFF, Boniface Wambura, amesema Emanuel okwi kutoka Uganda sasa ruksa kusajiliwa na Yanga...Maagizo hayo yametoka kweye shirikisho la soka duniani FIFA kwamba Okwi sasa yuko huru kusajiliwa na Yanga...Okwi alitoka Sports Club Villa ya huko Uganda na kujiunga na Yanga lakini usajili wake ulizuiliwa...Okwi hakuelewana na timu kutoka Tunisia Etoile Du Sahel ndio akajishkiza S.C. Villa...

No comments:

Post a Comment