Tuesday 25 February 2014

LA LIGA: BARCA YALIPA MAMILIONI KWENYE KESI YA KODI



Barcelona wamelazimika kulipa mamilioni ya pesa kutokana na kesi ya kodi iliyokuwa inawakabili...Barcelona sasa wamelipa milioni 13.5 euros ambazo ni deni la kukwepa kodi...Hii imetokea wakati wakimchukua dogo kutoka Santos, Neymar, ambapo walilipa pounds 48.6 milioni...Ila Barca wamekataa kwamba walikwepa kodi lakini wanasema ni issue ya kimikataba zaidi na wameamua kulishughulikia kwa kulipa pesa hizo...Sasa Neymar amesababisha club ya Barca kutumia pounds milioni 106.8...Bofya hapa upate habari zaidi.....

No comments:

Post a Comment