Tuesday 18 February 2014

F1: RED BULL WANATARAJIA KUFANYA VIZURI BAHRAIN


Timu ya Red Bull inatarajiwa kufanya vizuri katika majaribio ya F1 huko Bahrain kuanzia kesho...Red Bull hapo awali ilishemsha katika jaribio la gari lao jipya huko Jerez Spain na waliweza kumaliza lap 21 tu katika siku nne...Pia huko Bahrain Lotus itakuwa timu ya mwisho kuonyesha gari lao jipya na kulijaribu kwenye circuit ya Bahrain...Mwaka huu sheria zimeleta engine za 1.6 litre V6 Turbo na energy recovery systems kwahiyo timu zote zinamtihani wa kujifunza kutumia haya mabadiliko kwa muda mfupi...

No comments:

Post a Comment