Tuesday 16 December 2014

SPAIN: ANDRE HERERRA NA JEFFERSON MONTERO WATAJWA KWENYE UCHUNGUZI WA KUPANGA MATOKEO


Andre Hererra wa Manchester United na Jefferson Montero wa Swansea City ni kati ya wati 41 waliotajwa kuhusika na upangaji wa matokeo ya mechi dhidi ya Levante na Real Zaragoza katika msimu wa 2010-11...


Mashtaka hayo ambayo yako kwenye Mahakama ya Valencia yamesema zilitumika milioni 1 Euro ili Levante wapoteze mechi yao dhidi ya Zaragoza na Andre Herera ni kati ya watu 10 waliotoa pesa nyingi sana benki zilizotoka Zaragoza kwaajili ya rushwa...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment