Liverpool imetolewa nje ya Champions League baada ya kutoka sare na FC Basel 1-1...Liverpool walitakiwa washinde hiyo game lakini haikuwezekana...Steve Gerrard alijijithidi sana na akafanikiwa kusawazisha dakika ya 81 bado haikutosha kuwapeleka kwenye round ya mtoano...Liverpool walishinda mechi 1 kati ya 6 kwenye Group B sasa inabidi wajipange kweli kweli mwakani waweze kurudia hali yao ya zamani...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Wednesday, 10 December 2014
CHAMPIONS LEAGUE: LIVERPOOL YATOLEWA
Liverpool imetolewa nje ya Champions League baada ya kutoka sare na FC Basel 1-1...Liverpool walitakiwa washinde hiyo game lakini haikuwezekana...Steve Gerrard alijijithidi sana na akafanikiwa kusawazisha dakika ya 81 bado haikutosha kuwapeleka kwenye round ya mtoano...Liverpool walishinda mechi 1 kati ya 6 kwenye Group B sasa inabidi wajipange kweli kweli mwakani waweze kurudia hali yao ya zamani...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment