Michuano ya kimataifa ya Cricket ya wanawake ambayo yatafanyika jijini Dar es Salaam kuanzia December 7 mpaka 9 tayari timu zimeshaanza kutoa majina ya vikosi vyao...Rwanda wamesema wako tayari kupambana na hawataki kushika nafasi ya 4 tena...Gazeti la New Times limesema kocha, Joshu Mwanja, amewapa mazoezi makali kwa miezi 2 na sasa amechagua kikosi cha mwisho cha kuppambana kwenye michuano hiyo...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Monday, 1 December 2014
ICC AFRICA U-19: RWANDA YATAJA KIKOSI CHAKE
Michuano ya kimataifa ya Cricket ya wanawake ambayo yatafanyika jijini Dar es Salaam kuanzia December 7 mpaka 9 tayari timu zimeshaanza kutoa majina ya vikosi vyao...Rwanda wamesema wako tayari kupambana na hawataki kushika nafasi ya 4 tena...Gazeti la New Times limesema kocha, Joshu Mwanja, amewapa mazoezi makali kwa miezi 2 na sasa amechagua kikosi cha mwisho cha kuppambana kwenye michuano hiyo...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment