Monday 10 August 2015

SWANSEA CITY: AYEW AJISIKIA YUKO NYUMBANI


Andrew AyewAndre Ayew forward wa Swansea City amesema anajisikia kama yuko nyumbani ndani ya club...Ayew mwenye umri wa miaka 25 aliingia Swansea mwezi was 6 na amefanikiwa kupata bao la kwanza walipoikimbiza Chelsea na kutoka sare ya 2-2...Ayew alitokea timu ya kifaransa ya Marseille ambapo alikaa sana huko na pia alisoma academy na kukulia Marseille...Bofya hapa update habari zaidi.

No comments:

Post a Comment