Saturday 29 August 2015

2015 WORLD ATHLETICS CHAMPIONSHIP: BOLT AIBEBA TENA JAMAICA KWENYE 4×100


Usain Bolt ameisaidia Jamaica kuchukua medani ya dhahabu kwenye michuano mikali ya dunia ya riadha huko China...Bolt alishinda kwa muda wa 37.36 muda mzuri kabisa na alimpita Justin Gatlin wa timu ya Marekani ambayo ilikataliwa nafasi ya 2 baada ya kukosea kupokezana kijiti...Nasafi ya 2 ilichukuliwa na China na nafasi ya 3 ilienda kwa Canada...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment