Thursday 20 August 2015

MARSEILLE: WINGA WA ZAMANI WA BARCA KOCHA MPYA


Marseille wamepata kocha mpya baada ya kocha Marcelo Bielsa kuondoka baada ya kufungwamechi ya kwanza...Jose Miguel Gonzales au kwa jina lingine Michel sasa ndio kocha mpya na alikuwa winga wa Real Madrid miaka ya nyuma...Bofya hapa tupate habari  zaidi. 

No comments:

Post a Comment