Saturday 15 August 2015

SPANISH SUPER CUP: FC BARCELONA YASOMA NAMBA ZA ATLETICO BILBAO

Athletic Bilbao yaishangaza Barcelona baada ya kuwachapa mabao 4-0 jana usiku...Bilbao walikuwa makini na kuipangua beki ya Barca na kuacha kocha wa Barca akitoa macho bila kuongea sana...Aritz Aduriz alipata hat-trick kwenye game hiyo safi ya mzunguko wa kwanza wa Spanish Super Cup...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment