Thursday 27 August 2015

MANCHESTER UNITED: ROONEY AMEANZA KUFUNGA TENA


Wayne Rooney ameisaidia Man U kuingia kwenye makundi ya Champions League baada ya kupata hat-trick dhidi ya Club Brugge...Rooney alikaukiwa magoli kwa muda mrefu amerudi kwenye form sasa...Man U walishinda 0-4...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment