Sunday 23 August 2015

F1: LEWIS HAMILTON ASHINDA BELGIAN GP


Lewis Hamilton ameshinda Belgian Grand Prix na kuongeaza points zaidi dhidi ya dereva mwenzake Nico Roseberg...Hamilton alianza wa kwanza kwenye grid na hakuachia hiyo nafasi mpaka mwisho...Hamilton sasa yuko mbele kwa points 28...


Romain Grosjean amemaliza nafasi ya 3 baada ya Sebastian Vettel kupata tatizo la tairi kupasuka ikiwa imebaki laps 2...Bofya hapa upate habari zaiai.

No comments:

Post a Comment