Showing posts with label Romain Grosjean. Show all posts
Showing posts with label Romain Grosjean. Show all posts

Saturday, 25 February 2023

ROMAIN GROSJEAN'S FORMULA 1 BURNT-OUT CAR TOMGO ON SHOW


Romain Grosjean's burnt-out car is tongo on show. In 2020 Grosjean suffered burns after an accident at the Bahrain Grand Prix.

Sunday, 23 August 2015

F1: LEWIS HAMILTON ASHINDA BELGIAN GP


Lewis Hamilton ameshinda Belgian Grand Prix na kuongeaza points zaidi dhidi ya dereva mwenzake Nico Roseberg...Hamilton alianza wa kwanza kwenye grid na hakuachia hiyo nafasi mpaka mwisho...Hamilton sasa yuko mbele kwa points 28...


Romain Grosjean amemaliza nafasi ya 3 baada ya Sebastian Vettel kupata tatizo la tairi kupasuka ikiwa imebaki laps 2...Bofya hapa upate habari zaiai.