Sunday 23 August 2015

CHELSEA: BRAZIL U-20 AINGIA DARAJANI


Chelsea wamemchukua Kenedy ambae alikuwa anachezea timu ya taifa ya Brazil ya chini ya miaka 20...Kenedy mwenye umri wa miaka 19 anacheza nafasi ya forward na ametokea Fluminence...Bofya hapa upate habari zaidi.


No comments:

Post a Comment