Monday 31 August 2015

MANCHESTER CITY: KEVIN DE BRUYNE NDANI YA CITY


Kevin de Bruyne midfielder wa Wolfsburg alingia Manchester City kwa mkataba wa miaka 6...Bruyne anamiaka 24 na alichukuliwa kwa dau la milioni 55 pounds...Huyu dogo aliwahi kuichezea Chelsea lakini hakukaa sana na baada ya miaka 3 alisepa kutokana na mizengwe ya Mourinho...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment