Saturday 29 August 2015

EPL: BRANDEN RODGERS AKUBALI KICHAPO


Kocha wa Liverpool, Brendan Rodgers, amekubali kichapo nakusema Liverpool haikuama toka mwanzo wa mechi...


Liverpool wametoka kucheza na Arsenal hivi karibuni na walitoka sare baada ya kucheza vizuri sana lakini leo West Ham United wamezidi wazee wa the Kop kwa kuwachapa 0-3 ndani ya the Kop...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment