Thursday 13 August 2015

ARSENAL: WILSHIRE KURUDI MAPEMA


Jack Wilshire anategemewa kurudi baada ya wiki 2 kutokana na kuvunja ankle akiwa mazoezini...Arsene Wenger amesema Wilshire bado anawiki 4 za kuwa fit...Habari nyingine ni Tomas Rosicky atakuwa nje kwa miezi 4 baada ya kufanyiwa upasuaji was got...Bofya hapa upate Habari zaidi. Bofya hapa upate habari kamili.

No comments:

Post a Comment