Wednesday 12 August 2015

UEFA SUPER CUP: BARCELONA BINGWA


Barca wamefanikiwa kushinda Super Cup kwa mara ya 5 baada yakuwachapa Sevilla mabao 5-4...


Game ilikuwa kali sana na kuna kipindi Barca walikuwa mbele 4-1 lakini Sevilla walikuwa juu na kupata penalty...


Substitute Pedro ndie aliyewapa Barca ushindi dakika za nyongeza...Bofya hapa update habari zaidi

No comments:

Post a Comment