Showing posts with label Pedro. Show all posts
Showing posts with label Pedro. Show all posts

Sunday, 6 November 2016

EPL: CHELSEA HUMILIATE EVERTON AT THE BRIDGE


Chelsea FC are on top of the premier league after thrashing Everton 5-0...Eden Hazard scored twice as Chelsea put a display of class to humiliate Everton at Stamford Bridge...

Wednesday, 19 August 2015

CHELSEA: PEDRO KUINGIA DARAJANI


Winga hatari sana wa Barcelona yuko safarini kuingia jijini London kukamilisha usajili ndani ya Stamford Bridge...Pedro Rodriguez alitarajiwakunyakuliwa na Manchester United lakini tetesi zinasema hakufurahia jinsi Man U walivyomfanyia Victor Valdez...Pedro mwenye umri wa miaka 28 ametokea Academy ya Barca na toka aingie mwaka 2008 amefunga mabao 99 kataka mechi 326...Bofya hapa upate habari zaidi.

Wednesday, 12 August 2015

UEFA SUPER CUP: BARCELONA BINGWA


Barca wamefanikiwa kushinda Super Cup kwa mara ya 5 baada yakuwachapa Sevilla mabao 5-4...


Game ilikuwa kali sana na kuna kipindi Barca walikuwa mbele 4-1 lakini Sevilla walikuwa juu na kupata penalty...


Substitute Pedro ndie aliyewapa Barca ushindi dakika za nyongeza...Bofya hapa update habari zaidi