Saturday 15 August 2015

EPL: AYEW AFANYA VIZURI TENA SWANSEA


Andre Ayew amefunga bao la 2 na kuipa ushindi Swansea City dhidi ya Newcastle United...Ayew alifunga bao safi la kichwa na sasa Ayew anamabao 2 katika mechi 2 alizocheza...Bao la kwanza la Swansea alifunga Gomis mapema dakika ya 9...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment