Wednesday 26 August 2015

TFF: MAMELODI SUNDOWNS WAMEALIKWA KUCHEZA TANZANIA


Timu kubwa na mashuhuri ya Afrika ya Kusini Mamelodi Sundowns wamealikwa kuja Tanzania badae mwaka huu kucheza kwenye mashindano ya timu 4...Kocha wa Sundowns Pitso Mosimane aliwaambia Sport24 kwamba ni vizuri timu yake inacheza na timu kubwa kama TP Mazembe ambao pia wamealikwa kuja kucheza nchini Tanzania...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment