Namba 1 duniani kwenye mchezo wa Golf Rory Mcilroy ameshinda michuano ya Wells Fargo kwa mikwaju 7 mbele ya wenzake na kuweka rekodi ya score ya 267...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the 🌎
Monday, 18 May 2015
WELLS FARGO CHAMPIONSHIP: RORY AVUNJA REKODI NA KUSHINDA
Namba 1 duniani kwenye mchezo wa Golf Rory Mcilroy ameshinda michuano ya Wells Fargo kwa mikwaju 7 mbele ya wenzake na kuweka rekodi ya score ya 267...Bofya hapa upate habari zaidi.
LA LIGA: BARCELONA MABINGWA
Sunday, 17 May 2015
EPL: STEVEN GERRARD AAGWA NA MASHABIKI WA THE KOP
Captain wa Liverpool na Legend kwenye timu ya Liverpool Steven Gerrard ameagwa rasmi kwenye uwanja wa Anfield...Gerrard akiingia uwanjani na watoto wake watatu alishangiliwa sana na mashabiki wa the Kop na kupewa gwaride la heshima na timu zote mbili...
Steve Gerrard ni mchezaji aliyekulia kwenye club miaka 25...Gerrard alisema kweli "You'll never walk alone" akihojiwa na waandishi wa habari huku akishukuru hasa mashabiki wa Kop na uongozi wote wa club ya Liverpool huku akishangiliwa sana na mashabiki wakilitaja jina lake...
Gerrard aliingia Liverpool akiwa na miaka 9 na alifanikiwa kufunga mabao 185 kati ya mechi 709 alizocheza...Gerrard anaondoka Liverpool kwenda kucheza Marekani kwenye timu ya L.A Galaxy...
Gerrard amekuwa Captain toka 2003 nafasi aliyoishikilia kwa miaka 12...Bofya hapa upate habari zaidi.
Friday, 15 May 2015
F1: MAFUTA KUONGEZWA KATIKATI YA MASHINDANO MSIMU WA 2017
Mabosi wa formula one akiwemo Rais wa FIA Jean Todt na Bernie Ecclestone pamoja na maboss wa timu za Ferrari, McLaren, Mercedes, Red Bull, Williams na Force India wamekubali kuchangamsha mashindano kwa kurudisha tena uongezaji mafuta wakati wa mashindano na pia wamekubali magari yawe na kelele zaidi ili yaweze kwenda mbio zaidi...
EUROPA CUP 2015: SEVILLA NA DNIRPO NDAI YA FAINALI
Dnipro itakutana na wakali kwenye fainali za Europa 2015...Dnipro iliichapa Napoli bao 1 na kuongoza aggregate ya 2-1...Timu ya Rafael Benitez Napoli walishinda game 10 mfululizo mpaka walivyosimamishwa na Dnipro na sasa Dnipro itaingia fainali na Sevilla ambao waliichapa Fiorentina mabao 2-0 na aggragate ya 5-0 huko Italy...Fainali itachezewa Warsaw May 27...Usikose fainali kali sana....Bofya hapa upae habari zaidi.
Thursday, 14 May 2015
TFF: SQUAD YA COSAFA CUP YATAJWA
Squad ya watu 20 tayari kwa COSAFA Cup huko South Africa iko tayari...Michuano hiyo ya COSAFA inategemewa kuanza May 17 mpaka May 31...Timu hiyo ya Tanzania itaongoza na afisa wa TFF bwana Ephaphra Swai na wanatarajiwa uwanjani Jumatatu kuchuana na Swaziland alafu siku 2 badae kucheza na Madagascar...Wachezaji kama wa 5 wameachwa kutokana na kutofikia vigezo muhimu hasa afya na mambo mengine...Mmoja aliyeachwa ni Nadir Haroub...Squad ya Tanzania ni kama ilivyo hapo chini;
Deogratius Munishi (Yanga) and Mwadini Ali (Azam). Defenders: Shomari Kapombe, Aggrey Morris, Erasto Nyoni (Azam), Oscar Joshua, Kelvin Yondani (Yanga), Abdi Banda (Simba), Salim Mbonde (Mtibwa Sugar) and Haji Mwinyi (KMKM). Midfielders: Salum Abubakar, Frank Domayo (Azam), Said Juma, Salum Telela, Hassan Dilunga (Yanga), Said Ndemla (Simba) and Mwinyi Kazimoto (Al Markhira). Strikers: Ibrahim Ajib (Simba), Mrisho Ngassa, Simon Msuva (Yanga), John Bocco (Azam) and Juma Luizio (Zesco United).
Bofya hapa upate habari zaidi.
RIADHA: TIMU YA MAREKANI YAVULIWA MEDANI ZA 2012
CHAMPIONS LEAGUE: JUVE NDANI YA FAINALI NA BARCA
Real walichapwa mechi ya kwanza 2-1 na wakasawazisha kwenye mechi ya pili kupitia penalty aliyofunga Cristiano Ronaldo dakika ya 23 lakini Morata akaiweka Juve mbele kipindi cha 2...Bofya hapa upate habari zaidi.
Tuesday, 12 May 2015
DIEGO MARADONA: JOSE KIFAA KULIKO PEP
Diego Maradona mchezaji maarufu sana wa zamani wa Argentina amesema Jose Mourinho ni kocha bora sana kuliko Pep Guardiola...
Monday, 11 May 2015
MADRID MASTERS 2015: ANDY MURRAY AMEMGARAGAZA RAFA NA KUNYAKUA UBINGWA MADRID
TFF: TANZANIA ITAKUWA MWENYEJI WA KAGAME CUP
Shirikisho la Soka Tanzania TFF limekubali kuwa mwenyeji wa michuano ya kombe la Kagame mwaka huu...CECAFA Kagame Cup itafanyika Tanzania na TFF sasa watatoa mwaliko kwa timu zote ambazo zinastahili kucheza...Baada ya kupata uhakika nani atacheza ndipo TFF wataandaa list ya watakao cheza na ratiba rasmi na kuitoa kwenye vyombo vya habari na kwa wadau...Bofya hapa upate habari zaidi.
Sunday, 10 May 2015
MANCHESTER UNITED: THIERRY HENRY ASEMA DE GEA ALISTAHILI TUZO YA MWANASOKA BORA WA MWAKA
Super star wa zamani wa Arsenal Thierry Henry amesema David De Gea ndio mchezaji bora kijana wa mwaka...
Saturday, 9 May 2015
NBA: DERRICK ROSE AZAMISHA BASKET SEKUNDE YA MWISHO
Derrick Rose aipa ushindi Chicago Bulls kwenye game ya 3 ya nusu fainali ya michuano ya playoffs...Rose alizamisha basket sekunde ya mwisho kabla ya kengele na kuipa timu yake ushindi wa 99-96 katika game kali sana dhidi ya Cleveland Cavaliers ndani ya uwanja wa Bulls...Game ilikuwa na tension wakati Noah na LeBron walitaka kuzichapa baada ya kurushiana maneno...Sasa Bulls inaongoza series za Eastern Conference 2-1...Bofya hapa upate habari zaidi.
BOXING: WBA WACHUKUA MKANDA WAO KUTOKA KWA FROCH
Carl Froch amepoteza mkada wa super-middleweight kutokana na kushindwa kutetea mkanda huo...Boxer Froch ambae anatokea Uingereza pia aliachia mkanda wa IBF...Froch alishindwa kuzichaa na Julio Chavez Jr mwezi wa 3 kutokana na mattatizo ya mkono...Promota wa Froch, Eddy Hearn, amesema boxer anadhani boxer huyo hato zichapa tena...Bofya hapa upate habari zaidi.
Friday, 8 May 2015
MANCHESTER UNITED: MDACHI FORWARD MEMPHIS DEPAY KUTUA OLD TRAFFORD
Manchester United wanamchukua forward wa PSV Eindhoven Memphis Depay...Depay atatia timu Old Trafford akimaliza uchunguzi wa daktari na dirisha la usajili likifunguliwa mwezi wa sita...Man U wamemchukua kwa bei kati ya pounds milioni 25 na 30 na atakaa mpaka 2019...Depay mwenye umri wa miaka 21 amewafungia PSV mabao 21 msimu huu na PSV walinyakua kombe la ligi ya wadachi...Bofya hapa upate habari zaidi.
Wednesday, 6 May 2015
NBA: STEPHEN CURRY POKEA TUZO YA MVP
ARSENAL: TAJIRI ALIKO DANGOTE ANATAKA KUNUNUA ARSENAL
Billionaire anayetoka Nigeria Aliko Dangote amesema anataka kuinunua timu ya Uingereza ya Arsenal...Dangote alisema hayo alipoongea na Bloomberg kampuni inayotoa taarifa za masoko na uwekezaji...Alisema kama bei itakuwa safi atanunua timu hiyo ya north London...Dangote alijaribu kununua Arsenal mwaka 2010 lakini akabadilisha mawazo na sasa anasema bei ikiwa safi atanunua...Bloomberg Billionaire Index inasema Dangote anautajiri wa bilioni 15.7 na ni tajiri kuliko wote Afrika na tajiri kuliko watu wote wenye asilia ya Afrika...Bofya hapa upate habari zaidi.
Tuesday, 5 May 2015
WORLD SNOOKER CHAMPIONSHIP: BINGHAM AMFUNGA MURPHY NA KUCHUKUA KOMBE
Bingham amezawadiwa pound laki 3 na atakuw wa 2 duniani kutok namba 10...Bofya hapa upate habari zaidi.
Sunday, 3 May 2015
BOXING: FLOYD MAYWEATHER ASHINDA PAMBANO LA BEI MBAYA
Pambano hili ambalo lilikuwa lenye gharama kubwa kuliko mapambano yote lilishuhudiwa na watu wengi sana duniani na lilikuwa linasubiriwa kwa hamu sana na wadau wa boxing duniani....
Mayweather ameshinda pambano na majaji wote walimpa points zakutosha ingawa Manny nae alizichapa sana na kumpa Mayweather shida karibu round zote...Bofya hapa upate habari zaidi.
Saturday, 2 May 2015
BELGIUM FOOTBALL ASSOCIATION: GREGORY MERTENS AANGUKA UWANJANI NA KUFARIKI SIKU CHACHE BAADAE
Ex-U 21 wa Belgium Gregory Mertens amefariki dunia...Mertens alianguka uwanjani Jumatatu kutokana na tizo la moyo na baadae kukimbizwa hospitali kwa matibabu zaidi...Hali iliendelea kuwa tete na toka aingie hospitali alikuwa anatumia mashine ya kupumua mpaka familia yake ilipomua kuizima hiyo mashine jana...
Mchezaji wa zamani wa Bolton Fabrice Muamba ambae nae aliwahi kupata matatizo ya moyo katikati ya game dhidi ya Tottenham amesikitika sana kwa tweet yake hapo chini...
Romelu Lukaku Belgium na Everton forward amesikitika na kusema Mertens ameondoka mapema na apumzike kwa amani...Shirikisho la soka la Belgium limesema mechi zote za Ijumaa zitaanza na dakika moja ya kuomboleza kifo cha Mertens...Mertens alikuwa na miaka 24 mauti yalipomfikia...Max Sports na wadau tunamuombea apumzike kwa amani...Bofya hapa upate habari zaidi.
Friday, 1 May 2015
EPL: RATIBA YA MECHI ZINAZOKUJA (GMT)
SAT 2 MAY 2015 - PREMIER LEAGUE
- LeicestervNewcastle12:45
- Aston VillavEverton15:00
- LiverpoolvQPR15:00
- SunderlandvSouthampton15:00
- SwanseavStoke15:00
- West HamvBurnley15:00
- Man UtdvWest Brom17:30
- ChelseavCrystal Palace13:30
- TottenhamvMan City16:00
- HullvArsenal20:00
- EvertonvSunderland12:45
- Aston VillavWest Ham15:00
PANAMA: MCHEZAJI WA ZAMANI WA COLOMBIA FREDDY RINCON ATAFUTWA NA INTERPOL
Freddy Rincon mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Colombia anatafutwa na polisi wa Panama kuhusiana na usafishaji pesa chafu na mambo ya madawa ya kulevya...
![]() |
| Rincon wa 3 kutoka kulia waliosimama |
Thursday, 30 April 2015
PROFESSIONAL FOOTBALLERS' ASSOCIATION: EDEN HAZARD AFURAHIA KUWA MCHEZAJI BORA
Eden Hazard amefurahi sana kushinda tuzo ya PFA ya mchezaji bora 2014-2015 ambapo mwaka jana alishinda mchezaji bora kijana wa mwaka...Harry Kane alikuwa mshindi wa 2 na David de Gea mshindi wa 3...Tuzo hiyo ya PFA inahusisha wachezaji wenyewe kuchagua wachezaji bora kwahiyo Hazard amefurahi kupata tuzo hiyo yenye heshima ya aina yake...Hary Kane alishinda tuzo hiyo ya PFA upande wa mchezaji bora kijana...Bofya hapa upate habari zaidi.
Wednesday, 29 April 2015
EPL: MSIMAMO WA LIGI MPAKA SASA
| Position | Team | Played | GoalDifference | Points |
|---|---|---|---|---|
| No movement1 | Chelsea | 33 | 39 | 77 |
| No movement2 | Man City | 34 | 34 | 67 |
| No movement3 | Arsenal | 33 | 31 | 67 |
| No movement4 | Man Utd | 34 | 25 | 65 |
| No movement5 | Liverpool | 34 | 10 | 58 |
| No movement6 | Tottenham | 34 | 6 | 58 |
| No movement7 | Southampton | 34 | 21 | 57 |
| No movement8 | Swansea | 34 | -3 | 50 |
| No movement9 | Stoke | 34 | -3 | 47 |
| No movement10 | Everton | 34 | 1 | 44 |
| No movement11 | West Ham | 34 | 0 | 44 |
| No movement12 | Crystal Palace | 34 | -5 | 42 |
| No movement13 | West Brom | 34 | -14 | 37 |
| No movement14 | Newcastle | 34 | -21 | 35 |
| Moving up15 | Hull | 34 | -13 | 34 |
| Moving down16 | Aston Villa | 34 | -22 | 32 |
| No movement17 | Leicester | 33 | -16 | 31 |
| No movement18 | Sunderland | 33 | -23 | 30 |
| No movement19 | QPR | 34 | -21 | 27 |
| No movement20 | Burnley | 34 | -26 | 26 |
Subscribe to:
Posts (Atom)































