Arsenal imepoteza mechi ambayo walitakiwa kushinda na walikuwa mbele mpaka dakika za katikati kipindi cha 2...Arsenal kupitia kwa Alexis Sanchez walipachika bao dakika ya 63 baada ya Danny Welbeck kuchomoka na mpira fasta na kusukuma pasi safi ambayo ilimkuta Sanchez na akapachika bao la karibu...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the 🌎
Monday, 10 November 2014
EPL: SWANSEA YAIBUKA NA USHINDI
Arsenal imepoteza mechi ambayo walitakiwa kushinda na walikuwa mbele mpaka dakika za katikati kipindi cha 2...Arsenal kupitia kwa Alexis Sanchez walipachika bao dakika ya 63 baada ya Danny Welbeck kuchomoka na mpira fasta na kusukuma pasi safi ambayo ilimkuta Sanchez na akapachika bao la karibu...
Sunday, 9 November 2014
Saturday, 8 November 2014
THE BLACK STARS: AVRAM GRANT KOCHA MTARJIWA GHANA
Aliyekuwa kocha wa Chelsea Avram Grant anatarjiwa kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya Ghana the Black Stars...Avram akikubaliana na shirikisho la soka la Ghana (GFA) kwenye masuala ya pesa atasaini mkataba na kuisaidia Ghana...Shirikisho la soka la Ghana limesema kati ya makocha, Juan Ignacio Martinez na Michel Pont aliyekuwa msaidizi wa timu ya Switzerland, wanamtaka Grant anayetokea Israel...Grant aliwapeleka Chelse mpaka fainali ya Euro Champions League 2008 na alikuwa kocha wa timu ya taifa ya Israel kwa miaka 4...Bofya hapa upate habari zaidi.
Friday, 7 November 2014
ENGLAND SQUAD: MRUNDI SAIDO BERAHINO NDANI YA TIMU YA TAIFA
Saido Berahino alizaliwa Burundi ni mchezaji wa West Brom ambae amechaguliwa kuichezea timu ya taifa na kocha Roy Hodgson.
BBALL KITAA: CBE & UDSM WAPAMBANA LEO! USIKOSE!
Mechi kali ya basketball hapa mjini inasubiriwa kwa hamu kubwa kati ya College of Business Education (CBE) na University of Dar es Salaam (UDSM) leo usiku katika vwanja vya Ghymkhana....Timu zote mbili ziko tayari kupambana na UDSM wako tayari kucheza vizuri baada ya kushindwa katika game yao ya 1...Game ya eo ni kati ya game nyingi za kusherekea mwaka 1 wa BBall Kitaa...
Mratibu wa BBall Kitaa, Lawrence Karabani, amesema wanajivunia kwamba BBall Kitaa imefanikiwa sana hasa kuwaunganisha vijana wengi kuwapa shughuli ya kufanya na hasa vyuo vimehusika sana...Pia wadhanini wa BBall Kitaa Coca-Cola kupiti kinywaji cha Sprite wamefurahi sana kupewa nafasi ya kupromote basketball nchini Tanzania na kuchangamsha maisha ya vijana wengi na wataendelea kufanya kazi na wadau wa basketball Tanzania ili kuendeleza mchezo huu na kukuza vipaji...Usikose kuangalia jii game leo usiku katika viwanja vya Gymkhana...Bofya hapa upate habari zaidi.
Thursday, 6 November 2014
CHAMPIONS LEAGUE: MAN CITY HALI TETE
Mambo sio mambo kwa Manchester City baada ya kuchapwa nyumbani na CSKA Moscow 2-1...Man City sasa wameshikilia mkia kwenye Goup E wakibakiwa na mechi 2...Hali ni tete kutokana na Yaya Toure na Fernandinho kutolewa na watakosa mechi inayokuja dhidi ya kisiki Bayern Munich...
Man City hawakucheza vizuri na Seydou Doumbia alianza kupachika bao mapema dakika ya 2 na dakika ya 8 Toure alisawazasha...Kipindi hicho hicho cha 1 Doumbia alipachika bao dakika ya 34 na kuwaacha hoi Man City ambao sasa wako hatrini kutolewa...Bofya hapa upate habari zaidi.
Wednesday, 5 November 2014
QATAR 2022 WORLD CUP: PLATINI ATAKA WORLD CUP IFANYIKE KIPINDI CHA BARIDI
Rais wa Uefa Michel Platini anataka World Cup itakayochezewa huko Qatar mwaka 2022 ifanyike kipindi ambacho hakina joto...Platini amesema joto litawaumiza sana wachezaji World Cup ikifanyika kipindi cha joto ambacho ndio kipindi cha summer kwa maeneo mengi ya kaskazini mwa Equator...Clubs nyingi zimesema ratiba ikibadilika itaharibu utaratibu wa mambo mengi lakini Platini amesena clubs hazichezi ila wachezaji ndio wanaocheza na hawawezi kucheza wakati joto liko centigrade 40...Bofya hapa upate habari zaidi.
CHAMPIONS LEAGUE: ARSENAL WAACHIA MAGOLI NA KUTOA DRAW
Arsenal wako karibu kufuzu kuingia 16 bora ya Champions League lakini walichemsha jana kwani walikuwa mbele magoli 3 na Anderlecht wakarudisha yote 3 ndani ya dakika 29...Bao 1 lilitoka kwa Arteta kwa njia ya penalty, la 2 kutoka kwa Alexis Sanchez kwa mkwaju mkali wa volley kutoka yadi 20 na la 3 kutoka kwa Oxlade-Chamberlain...Sasa Arsenal wanahitaji point 1 tu ili waweze kuingia 16 bora na bado wana game na Dortmund November 26 na Galatasaray December 9...Bofya hapa upate habari zaidi.
Tuesday, 4 November 2014
BALIMI BOAT RACE 2014: TEAM ELIUD PROSPER YANYAKUA UBINGWA
Mashindano ya Mkoa wa Kagera ya makasia au mitumbwi timu ya Eliud Prosper kwa upande wa wanaume na wanawake timu ya Khadija Ramadhan wamenyakua ubingwa...
Mashindano hayo ambayo yamedhaminiwa na TBL kupitia brand yake ya Balini Extra Lager yalikuwa yakusisimua na ya ushindani mkubwa sana...
Mabingwa walizawadiwa 900,000/- na kupata nafasi ya kuiwakilisha Kagera kwenye fainali za kanda jijini Mwanza...Bofya hapa upate habari zaidi.
EPL: BAADA YA CHRIS SMALLING KUITWA BWEGE NA VAN GAAL SASA ATANIWA NA VIRGIN TRAINS
EPL: SUNDERLAND YATOKA SHIMONI
EPL: MSIMAMO WA LIGI MPAKA SASA
| Position | Team | Played | GoalDifference | Points |
|---|---|---|---|---|
| No movement1 | Chelsea | 10 | 16 | 26 |
| No movement2 | Southampton | 10 | 16 | 22 |
| No movement3 | Man City | 10 | 10 | 20 |
| No movement4 | Arsenal | 10 | 7 | 17 |
| No movement5 | West Ham | 10 | 5 | 17 |
| No movement6 | Swansea | 10 | 3 | 15 |
| No movement7 | Liverpool | 10 | 0 | 14 |
| No movement8 | Tottenham | 10 | -1 | 14 |
| No movement9 | Everton | 10 | 2 | 13 |
| No movement10 | Man Utd | 10 | 2 | 13 |
| No movement11 | West Brom | 10 | 0 | 13 |
| No movement12 | Newcastle | 10 | -4 | 13 |
| No movement13 | Stoke | 10 | -2 | 12 |
| No movement14 | Hull | 10 | -1 | 11 |
| No movement15 | Sunderland | 10 | -7 | 11 |
| No movement16 | Aston Villa | 10 | -11 | 10 |
| No movement17 | Crystal Palace | 10 | -5 | 9 |
| No movement18 | Leicester | 10 | -5 | 9 |
| No movement19 | QPR | 10 | -11 | 7 |
| No movement20 | Burnley | 10 | -14 | 4 |
Monday, 3 November 2014
F1: HAMILTON AMZIDI AKILI ROSBERG NA KUSHINDA USA GRAND PRIX
Kutokana na ushindi huu Hamilton yuko karibu na kushinda Championship ya GP...Bado kuna GP ya Braziil na Abu Dhabi na Hamilton akitoka wa 2 katika zote 3 atakuwa bingwa wa dunia...Bofya hapa upate habari zaidi.
Sunday, 2 November 2014
BMW MASTERS: ALEXANDER LEVY AONGOZA KWA MIKWAJU 4
Justin Rose ameibuka wa 3 akiwa -15 na alimalizia round na 64...Bofya hapa upate habari zaidi.
EPL: MOURINHO ALAUMU MASHABIKI
Jose Mourinho amelaumu mashabiki waliokuja kuangalia game ya Chelsea na QPR...Mourinho amesema katika game ya jana utafikiri hakuna watu uwanjani mpaka walivyofunga ndio akashtuka kuwa kuna watu...Kipa wa QPR baada ya dakika 20 aliomba taa za uwnjani zibadilishwe na Jose alisema mtunza taa alikuwa amesinzia kama mashabiki....Jose amesema hajafurahishwa na jinsi timu yake ilivyocheza ingawa sasa wako points 9 mbele ya timu nyingine...Chelsea ilishinda 2-1...Bofya hapa upate habari zaidi.
Saturday, 1 November 2014
BAFANA BAFANA: MAELFU YA WATU WAJITOKEZA KUMUAGA KWA UCHUNGU CAPTAIN SENZO MEYIWA
![]() |
| Rais Zuma akiwa na Senzo Meyiwa enzi za uhai wake... |
Watu wengi walijipanga barabarani na uwanja wa mpira wa Moses Madhiba ambao uko jijini Durban ulijaa sana wakimuaga Senzo Meyiwa kwa uchungu na majonzi makubwa sana...Kati wa waomblezaji walikuwepo rais wa shirikisho la mpira Afrika ya Kusini Danny Jordaan na wachezaji wenzake wa Orlando Pirates...
Audi Q7 nyeupe iliyobeba mwili wa marehemu Senzo Meyiwa iliingia uwanjani huku watu wote wakisimama kwa majonzi likifuatiwa na polisi na bendi ya polisi, kiongozi wa KwaZulu Natal, Edward Senzo Mchunu, rais wa shirikisho la soka, Dani Joordan, wachezaji wa Orlando Pirates na wengine wengi...
Mwili wake ulizungushwa uwanjani mara 1 na jeneza lilikuwa limefunikwa na bendera ya Afrika Kusini...Bofya hapa upate habari zaidi.
PARIS MASTERS: DJOKOVIC AMSIMAMISHA MURRY
Bingwa wa dunia Novac Djokovic amefanikiwa kumsimamisha Andy Murry...Andy ambae kashinda mechi 11 mfululizo alichapwa straight sets 7-5 6-2 na mtetezi wa Paris Masters Djokovic...
Sasa Andy atapumzika kidogo kabla hajamalizia msimu na World Tour Finals mjini London...Milos Raonic nae amefanikiwa kumchapa namba 2 duniani Federer 7-6 (7-4) 7-5 na yeye pia amefuzu kucheza World Tour Finals mjini London...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Posts (Atom)
























