Showing posts with label Pogba. Show all posts
Showing posts with label Pogba. Show all posts

Friday, 6 October 2023

POGBA TESTS POSITIVE FOR TESTOSTERONE IN COUNTER-ANALYSIS ON SECOND SAMPLE

Getty

Juventus midfielder Paul Pogba's positive doping test has been confirmed in a counter-analysis on a second sample, Sky Sports and ANSA news agency reported on Friday, a month after he was provisionally suspended.

Pogba was provisionally suspended last month after a test conducted by Italy's national anti-doping (NADO Italia) tribunal, detected testosterone, a hormone that increases athletes' endurance.

The test was performed after Juve's 3-0 Serie A season-opening victory at Udinese on Aug. 20.

Friday, 29 September 2017

Friday, 21 October 2016

Friday, 16 September 2016

EUROPA LEAGUE: MANCHESTER UNITED HAVE YET TO PROVE ANYTHING AS THEY FALL TO FEYENOORD


Manchester United needed this wake up call because if things remain the same life at Old Trafford will be unbearable...They had a lackluster display as they fell to Feyenoord 1-0 in their Group A opening match...The winning goal came from Tonny Vilhena in the 79th minute living United with something to ponder...


United has lost 4 consecutive European away games for the first time and also have gone 6 games without a clean sheet since in Europe 0-0 against PSV in November 2015...89 million pounds Paul Pogba was off his mark and running all over and lack of discipline as well and he also came into criticism from former Liverpool Defender Jamie Carragher...

Tonny Vilhena
Marcus Rashford was so isolated by the likes of wingers Anthony Martial and Juan Mata as well as midfielders Pogba, Hererra and Shneiderlin...United now sit at the bottom of the Group.

Saturday, 20 August 2016

EPL: MANCHESTER UNITED YAICHAPA SOUTHAMPTON 2-0


Manchester United wameshinda mechi yao ya 2 katika msimu mpya wa premiership dhidi ya Southampton 2-0...Zlatan Ibrahimovich alifunga mabao yote na kuipa timu yake mpya points 3...


Bao la kwanza lilikuja mnamo dakika ya 36 na bao la 2 dakika ya 56 kupitia tuta...Sasa Manchester United wanaongoza ligi waliwa na points 6...Pogba alicheza mechi yake ya kwanza kabisa toka anunuliwe kwa bei mbaya sana...Bofya hapa upate habari zaidi.

Friday, 12 August 2016

MANCHESTER UNITED: POGBA HATOCHEZA MECHI YA KWANZA


Kifaa hatari cha Manchester United Paul Pogba hatocheza mechi ya kwanza ya msimu mpya...Kisa cha yeye kuto cheza ni kufungiwa kutokana na adhabu ambayo alipewa akiwa Juventus...Mashabiki walikuwa na hamu ya kumwona mechi ya kwanza lakini ndio hivyo tena...Manchester United itakutana na Bournemouth Jumapili ijayo...Pogba anaweza kucheza tarehe 22 August dhidi ya Southampton...Bofya hapa upate habari zaidi.

Monday, 8 August 2016

MANCHESTER UNITED: HATIMAYE POGBA SASA NDANI YA OLD TRAFFORD


Tetesi zimekuwa nyingi sana mpaka watu walidhani ni story tu lakini kwa Manchester United pesa sio issue kwani sasa Pogba anatarajiwa kupata ushauri wa daktari ili atangazwe rasmi kuwa mchezaji wa Manchester United...Pogba anaingia Manchester United kwa dau la £89 milioni pamoja na nyongeza za badae kutokana na jinsi atakavyocheze...Amekuwa mchezaji wa bei mbaya kuliko Gareth bale alivyoingia Real Madrid kwa dau la £85 milioni...Bofya hapa upate habari zaidi.

Sunday, 24 July 2016

PAUL POGBA: AGENT WA POGBA YUKO MBIONI KUKAMILISHA UHAMISHO WA POGBA KURUDI TENA MANCHESTER UNITED KWA DAU LA £110 MILIONI


Habari zinazoingia kutoka Miami ni kwamba Agent wa Paul Pogba, Mino Raiola, ameingia Miami kuongea na Pogba kuhusu taratibu za mkataba mpya ambao utaona Pogba anapata £290,000 kwa wiki ikiwa ni pamoja na nyongeza za bonus...


Dili la Pogba ni £110 milioni na limeanza kusukwa muda mrefu...Pogba alianza kuichezea Manchester United kabla ya kupewa free transfer kwenda Juventus miaka 4 iliyopita...Juve nao wametoka kumchukua Bofya hapa upate habari zaidi.

Monday, 20 June 2016

EURO 2016: SWITZERLAND YAISHIKA SHATI FRANCE NA KUINGIA 16 BORA


France wameshinda Group A huku Switzerland waliwashika shati France na wao kuingia 16 bora...Kifaa cha France Paul Pogba alicheza vizuri na kugonga mwamba mara 2 kipindi cha kwanza...



Sub Dimitri Payet nae aligonga mwamba baada ya kupokea mpira safi kutoka kwa Moussa Sissoko na kupiga volley hatari...Switzerland nao ilikuwa wapewe penalty wakati Sagna alipomvuta shati Blerim Dzemaili dakika za nyongeza...




France sasa kucheza na mshindi wa 3 kutoka Group C, D au E ndani ya jiji la Lyon Jumapili...



Switzerland watacheza na mshindi wa nafasi ya 2 Group C kwa sasa ni Poland lakini anaweza kuwa Germany au la...Bofya hapa upate habari zaidi.

Saturday, 11 June 2016

EURO 2016: FRANCE YAANZA VIZURI KWA KUIFINGA ROMANIA 2-1


Wenyeji France wameanza vizuri baada ya kumchapa Romania 2-1...Romania walianza kwa kulishambulia lango la France na kuna wakati bado kidogo wapate bao lakini kipa akawa makini sana...Bao la kwanza lilitoka kwa striker wa Arsenal, Giroud, na badae Evra alianza foul ndani ya box na Romania wakapachika bao na kusawazisha...


Bao la ushindi lilitoka kwa Dimitri Payet dakika za lala salama alivyo piga mkwaju wa mbali na kumwacha kipa anashangaa na kutoa macho...Nyota wa mchezo alikuwa Pogba kwa kumakini wake na style yake lakini Payet ndio gumzo la ndani ya France...Bofya hapa upate habari zaidi.

Tuesday, 8 March 2016

PEP GUARDIOLA: PEP AKUTANA NA BOSS TXIKI BEGIRISTAIN AMSTERDAM


Pep Guardiola amekutana na sporting director wa Manchester City, Txiki Begiristain, jiijni Amsterdam jana...Pep anatarajiwa kuingia Manchester City na pia anatarajiwa kuvuta wachezaji wachache hatari...Wachezaji wanaotajwa ni pamoja na Paul Pogba, John Stones na IIkay Gundogan...Pep na Txiki walikutana kwenye hoteli moja ya kifahari yenye nyota 5 inayoitwa Conservatorium...


Walikaa na kupanga mikakati ya kuendeleza Manchester City msimu ujao...Bofya hapa upate habari zaidi.