Showing posts with label Red Devil's. Show all posts
Showing posts with label Red Devil's. Show all posts

Saturday, 20 August 2016

EPL: MANCHESTER UNITED YAICHAPA SOUTHAMPTON 2-0


Manchester United wameshinda mechi yao ya 2 katika msimu mpya wa premiership dhidi ya Southampton 2-0...Zlatan Ibrahimovich alifunga mabao yote na kuipa timu yake mpya points 3...


Bao la kwanza lilikuja mnamo dakika ya 36 na bao la 2 dakika ya 56 kupitia tuta...Sasa Manchester United wanaongoza ligi waliwa na points 6...Pogba alicheza mechi yake ya kwanza kabisa toka anunuliwe kwa bei mbaya sana...Bofya hapa upate habari zaidi.

Sunday, 10 July 2016

MANCHESTER UNITED: JUVE WANAMTAKA MEMPHIS DEPAY


Memphis Depay ameshindwa kuwuwika ndani ya Old Trafford lakini Juventus wanamfukuzia sana...Depay mwenye umri wa miaka 22 alingia Red Devil's kwa £25 milioni kutoka PSV Eindhoven...Tetesi kutoka gazeti la jioni la Manchester, Manchester Evening News, limesema Mourinho anataka kumchukua Julian Draxler kuchukua nafasi ya Depay...Bofya hapa upate habari zaidi.