Sunday, 26 October 2014

EL CLASICO: REAL MADRID YAFANYA KWELI


Real Madrid imeonyesha ulimwengu jinsi walivyo kuwa fit baada ya kuichapa Barcelona mabao 3-1...Barca ndio game yao ya kwanza kupoteza...Benzema alicheza vizui sana na kuwakosa kosa Barca na kujipatia goli laki sana...Neymar ndie alieanza kufunga mapema mpaka Ronaldo aliposawazisha dakika ya 35 kwa penalty...Pepe aliawapeleka mbele dakika ya 50 na Karim Benzema kupachika bao safi dakika ya 61...Hebu cheki hapo chini mambo yalivyokuwa...Bofya hapa upate habari zaidi.


EPL: MATOKEO YA MECHI ZA JANA

Saturday, 25 October 2014

SWISS INDOORS: RAFA NADAL ACHAPWA SETI ZOTE NA DOGO BORNA CORIC

Borna Coric
Bingwa wa tennis Rafa Nadal amechapwa straight sets na dogo Borna Coric mwenye umri wa miaka 17 tu kwenye michuano ya Swiss Indoors...Nadal alichapwa 6-2 7-6 (7/4) na kutangaza amemaliza msimu na atafanyiwa operaton ya appendix November 3...

Rafael Nadal
Rafa atakosa World Tours Final na Paris Masters kutokana na kutokuwa fit hasa mikono inamsumbua na sasa appendix inabidi itolewe...Bofya hapa upate habari zaidi.

Thursday, 23 October 2014

CHAMPIONS LEAGUE: ARSENAL YASHINDA DAKIKA ZA LALA SALAMA


Arsenal wamefanikiwa kushinda mechi yao dhidi ya RSC Anderlecht 2-1...Arsenal ndio walioanza kuchapwa bao kutoka kwa Andy Najar dakika ya 71 na ikaionekana kwamba hali itakuwa hivyo mpaka mwisho lakini dakika ya 89 Kieran Gibbs alisawazisha na Lukas Podolski akapachika bao la ushindi dakika za nyongeza...Jana ilikuwa siku ya kuzaliwa Arsene Wenger kwahiyo ushindi huu umekuja wakati mzuri...Bofya haapa upate haabari zaidi.

CHAMPIONS LEAGUE: MATOKEO YA MECHI ZA JANA

Wednesday, 22 October 2014

CHAMPIONS LEAGUE: BAYERN YAIRARUA ROMA


Bayern Munich wameibugiza AS Roma mabao 7-1 kwenye mechi ambayo kwa mara ya kwanza kwenye mashindano ya Ulaya Bayern wanapata mabao mengi kama hayo...


Bayern sasa wanaongoza kundi E kwa points 5 na wako mbele ya Manchester City mbao walishindwa kushinda mechi yao dhidi ya CSKA Moscow ambayo walikuwa wanaongoza lakini wakaishia draw 2-2...Bayern walikuwa makini kwani possession ilikuwa 66% na shots on goal 22...Bofya hapa upate habari zaidi

CHAMPIONS LEAGUE: MSIMAMO WA MAKUNDI MPAKA SASA

PositionTeamPlayedGoalDifferencePoints
No movement1Juventus213
No movement2Atl Madrid203
No movement3Malmö FF203
No movement4Olympiakos2-13
PositionTeamPlayedGoalDifferencePoints
No movement1Real Madrid256
No movement2FC Basel2-33
No movement3Liverpool203
No movement4Ludo Razgd2-20
PositionTeamPlayedGoalDifferencePoints
No movement1Zenit St P224
No movement2Monaco214
No movement3Bayer Levkn213
No movement4Benfica2-40
PositionTeamPlayedGoalDifferencePoints
No movement1Bor Dortmd256
No movement2Arsenal213
No movement3Anderlecht2-31
No movement4Galatasaray2-31
PositionTeamPlayedGoalDifferencePoints
No movement1Bayern Mun389
No movement2Roma3-24
No movement3Man City3-12
No movement4CSKA3-51
PositionTeamPlayedGoalDifferencePoints
No movement1Paris St G327
No movement2Barcelona326
No movement3Ajax3-22
No movement4Apoel Nic3-21
PositionTeamPlayedGoalDifferencePoints
No movement1Chelsea377
No movement2Schalke315
No movement3NK Maribor3-62
No movement4Sporting3-21
PositionTeamPlayedGoalDifferencePoints
No movement1FC Porto377
No movement2Shakt Donsk375
No movement3BATE Bor3-123
No movement4Ath Bilbao3-21