Showing posts with label Randeep Birdi. Show all posts
Showing posts with label Randeep Birdi. Show all posts

Wednesday, 26 October 2016

Sunday, 24 July 2016

NATIONAL RALLY CHAMPIONSHIP: GULJIT DHANI WA MOSHI YUKO TAYARI KUPAMBANA ARUSHA


Guljit Dhani amesema baada ya kuanza vizuri mwanzoni alishindwa kumaliza mashindano mawili kutokana na gari yake ya Subaru GBV kuharibika na hiyo imesababisha kumrudisha nyumalakini sasa yuko tayari kupambana....Amesena yeye na timu ya Harri Singh, Ajmendar na Rajpar Dhani wako tayari baada ya kukarabati gari vizuri kabisa...Guljit ni wa 5 kwa points chini ya Jamal Khan, Randeep Birdi, Gurpal Sandhu na Dharam Pandya...Bofya hapa upate habari zaidi.

Tuesday, 12 July 2016

AFRICAN CHAMPIONSHIP RALLY: RANDEEP BIRDI AWIKA RALLY YA BAGAMOYO

Randeep Birdi (kawowo sports)

Randeep Birdi amefanikiwa kushinda round ya 4 ya African Rally Championship (ARC) Rally iliyofanyika Bagamoyo...Birdi alikuwa ndani ya Mitsubishi Evo 9 akiwan na navigator Zubayr Peredina amekuwa mtanzania wa 3 baada ya Omar Bhakresa na Gerald Miller kushinda michuano ya bara (continental level rally)...

Gerald Miller 

Watanzania wamechukua nafasi zote 3 za juu huku Jamil Khan alichukua nafasi ya 2 na mkongwe Gerald Miller alichukua nafasi ya 3...Magari 12 kati ya 25 yalifanikiwa kumaiza kilometer 500 za mashindano...Wengine waliofanikiwa kumaliza 5 bora ni mkali Dharam Pandya na mkongwe kutoka Uganda Cristakis Fitidis...Wengine waliojitahidi ni Ajminder Singh kutoka Kilimanjaro ambae alichukua nafasi ya 6 akiwa ndani ya Subaru Impreza na mjukuu wa Pano Calvrias, Anastasios Calvrias, alikamata nafasi ya 7...


Kwa mashindano haya inaonekana Mitsubishi Evo ilitamba dhidi ya Subaru kwani wote waliochukua nafasi za juu walikuwa mitsubishi Evo...Bofya hapa upate habari zaidi.

Wednesday, 11 November 2015

GURU NANAK RALLY: PANDYA KARIBU KUCHUKUA UDEREVA BORA WA MWAKA

 
Pandya akiwa tayari kwa rally (Source: Busagaga's Original blog)

Dharam Pandya anaongoza kwa points 108 akifuatiwa na Randeep Birdi points 90 na hao wote wanatoka Dar es Salaam...Ni mara ya kwanza kwenye historia ya rally madereva wote wanne wanaoongoza rally wanatokea Dar es Salaam...Mara zote madereva wa Arusha ndio wanaoongoza mashindano ya magari...Michuano itahamia Morogoro December kati na Birdi anaweza kumpiku mwenzake lakini sio rahisi...Bofya hapa upate habari zaidi.