Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the 🌎
Showing posts with label Zubayr Peredina. Show all posts
Showing posts with label Zubayr Peredina. Show all posts
Monday, 16 September 2019
Tuesday, 12 July 2016
AFRICAN CHAMPIONSHIP RALLY: RANDEEP BIRDI AWIKA RALLY YA BAGAMOYO
Randeep Birdi amefanikiwa kushinda round ya 4 ya African Rally Championship (ARC) Rally iliyofanyika Bagamoyo...Birdi alikuwa ndani ya Mitsubishi Evo 9 akiwan na navigator Zubayr Peredina amekuwa mtanzania wa 3 baada ya Omar Bhakresa na Gerald Miller kushinda michuano ya bara (continental level rally)...
![]() |
| Gerald Miller |
Watanzania wamechukua nafasi zote 3 za juu huku Jamil Khan alichukua nafasi ya 2 na mkongwe Gerald Miller alichukua nafasi ya 3...Magari 12 kati ya 25 yalifanikiwa kumaiza kilometer 500 za mashindano...Wengine waliofanikiwa kumaliza 5 bora ni mkali Dharam Pandya na mkongwe kutoka Uganda Cristakis Fitidis...Wengine waliojitahidi ni Ajminder Singh kutoka Kilimanjaro ambae alichukua nafasi ya 6 akiwa ndani ya Subaru Impreza na mjukuu wa Pano Calvrias, Anastasios Calvrias, alikamata nafasi ya 7...
Kwa mashindano haya inaonekana Mitsubishi Evo ilitamba dhidi ya Subaru kwani wote waliochukua nafasi za juu walikuwa mitsubishi Evo...Bofya hapa upate habari zaidi.
Kwa mashindano haya inaonekana Mitsubishi Evo ilitamba dhidi ya Subaru kwani wote waliochukua nafasi za juu walikuwa mitsubishi Evo...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Posts (Atom)



