Showing posts with label Alvaro Morata. Show all posts
Showing posts with label Alvaro Morata. Show all posts

Thursday, 21 December 2017

CHELSEA: MORATA TO MISS EVERTON CLASH SATURDAY


Chelsea star Alvaro Morata scored late after warming up the bench during the Carabao clash against Bournemouth will now miss the coming Everton clash on Saturday...

Wednesday, 8 March 2017

Wednesday, 20 July 2016

CHELSEA FC: ANTONIO CONTE ANAJARIBU KUMVUTA MORATA DARAJANI


Kocha Antonio Conte anamtaka sana striker wa Real Madrid, Alvaro Morata, aingie Chelsea...Conte anawasiliana kila siku na Morata ili kumshawishi aingie darajani...Morata leo ataenda kupata ushauri wa daktari na baada ya hapo atajiunga na wenzake Karim Benzima na Gareth Bale...Chelsea wako tayari kutoa Euro milioni 60 kumchukua Morata...Bofya hapa upate habari zaidi.

Wednesday, 22 June 2016

EURO 2016: IVAN PERISIC AISHANGAZA SPAIN NA KUSABABISHA SPAIN WAKUTANE NA ITALY


Croatia wamewachapa Spain 2-1 na kusbabisha Spain wakutane na Italy 16 bora...Timu zote zimefuzu round ya 16 bora lakini haikutegemewa matokeo yawe hivyo...Imepita miaka 12 na siku 1 toka Spain wachapwe kwenye michuano ya Europe...Spain ndio walianza kuona lango la Croatia mapema dakika ya 7 bao la Alvaro Morata na badae kabisa dakika ya 45 Croatia walisawazisha kupitia Nicola Kalinic...Kwa ujumla mechi ilikuwa kali mwanzo mwisho...Tusubiri 16 bora...Bofya hapa upate habari zaidi.