Showing posts with label Roberto Di Matteo. Show all posts
Showing posts with label Roberto Di Matteo. Show all posts

Monday, 3 October 2016

ASTON VILLA: ROBERTO DI MATTEO HAS BEEN SACKED


Roberto Di Matteo has been sacked after 124 days in the job...After winning only 1 Championship game in 11 Aston Villa decided they need a new manager...Villa is now looking for a 5th manager inside 1 year...Former Chelsea's player and manager Di Matteo came Villa right after the new owner Dr. Tony Xia took over the club on June 2nd...Steve Clarke who was Di Matteo's  assistant will be the care taker for now.

Friday, 3 June 2016

ASTON VILLA: ROBERTO DI MATTEO KOCHA MPYA VILLA PARK


Kocha wa zamani wa Chelsea Roberto Di Matteo amechaguliwa kuwa kocha wa Aston Villa baada ya kocha Remy Garde kutimuliwa March...Msaidizi wake atakuwa Steve Clarke ambae nae alikuwa Blues...


Wengine ambao walikuwa kwenye hiyo list ya kuongoza Villa ni kocha wa zamani wa Manchester United David Moyes na kocha wa sasa wa Derby County Nigel Pearson...Mmiliki mpya wa Villa Dr.Tony Xia anaamini mabadiliko yatafanyika ndani ya Villa....Xia anasubiri umiliki wake uhalalishe hivi karibuni...Bofya hapa upate habari zaidi.

Friday, 20 May 2016

TONY XIA: MMILIKI MPYA WA ASTON VILLA TONY XIA AMESEMA ANATAKA VILLA IWE KATI YA TIMU 3 BORA


Tajiri mpya wa Aston Villa, Dr. Tony Xia, amesema anataka kuibadilisha timu yake ya Aston Villa...Aston Villa ilifanya vibaya sana katika historia ya miaka 142 ya club hiyo na ikashika daraja kutoka Premiership kwenda Championship...Mmiliki mpya anayetokea China ni millionaire mwenye umri wa miaka 39 alitambulishwa Jumatano na sasa yuko tayari kwenda kazini...Xia ameweka £50 milioni za awali na anaongea na Roberto Di Matteo na Nigel Pearson kubadilisha mambo pale Villa Park...



Xia amezaliwa China katika mji wa Quzou nje kidogo ya Shanghai...Aliondoka nyumbani akiwa mdogo miaka 14 na kuingia Chuo Kikuu cha Beijing na alipofika miaka 19 alienda Marekani kwa miaka 6 kusokuma katika Chuo cha Harvard na Massachusetts Institute of Technology...Aliwahi kukaa Uingereza miezi 5 akiwa Chuo cha Oxford mwaka 2002 ndipo mapenzi yake na Aston Villa yalipoanza toka aende kucheki game ndani ya Villa Park... Bofya hapa upate habari zaidi.