Showing posts with label Hillsborough disaster. Show all posts
Showing posts with label Hillsborough disaster. Show all posts

Wednesday, 6 December 2023

UK VOEWS NO REPEAT OF HILLSBOROUGH DISASTER INJURIES

Reuters 

The government pledged on Wednesday there would be no repeat of the years of injustice suffered by families of the 97 victims of the 1989 Hillsborough soccer ground crush, Britain's worst stadium disaster.

The Liverpool fans, many of them young, died in an overcrowded, fenced-in enclosure at Hillsborough in Sheffield, northern England, at an FA Cup semi-final against Nottingham Forest on a sunny spring afternoon.

For years, families of those who were killed campaigned for justice, refusing to accept the deaths were accidental after the police initially blamed the tragedy on the supporters themselves.

Tuesday, 26 April 2016

HILLSBOROUGH INQUESTS: UCHUNGUZI WA BAINI WATU WALIOFARIKI SIKU HIYO WALIUWAWA


Mwaka 1989 kwenye nusu fainali ya FA Cup mashabiki 96 wa Liverpool walipoteza maisha uwanja wa Hillsborough...Toka siku hiyo ya huzuni kubwa sana kwa timu na mashabiki wa mpira duniani uchunguzi ulifanyika na mpaka sasa report ya iquest imetoka ikibaini mashabiki waliuwawa...Mashabiki waliuwawa kutokana na uzembe wa polisi lakini hasa uzembe wa mtu mmoja anayoitwa David Duckenfield ambaye hakujali mashabiki na usalama wao...



Pamoja na hayo mengine yaliyosababisha mashabiki kufariki ni uwanja wa Hilsborough ulikuwa unamatatizo ya usalama, Milango ambayo ilitakiwa kuwa wazi haikufunguliwa kwa wakati, Polisi na watu wa huduma ya kwanza walichelewa kutangaza hali ya hatari na mambo mengi zaidi...


Familia za wafiwa zilikuwa nje ya Mahakama ambako matokeo hayo ya uchunguzi yaliposomwa na kusema kuwa sasa haki imefuata mkondo baada ya kuzungushwa miaka yote...Walilia na wengine kuonyesha picha za ndugu zao waliofariki kutokana na mkasa huo...Bofya hapa upate habari zaidi.

Friday, 15 April 2016

EUROPA LEAGUE 2016: LIVERPOOL YAIDUWAZA DORTMUND NA MASHABIKI WAKE


The Kop jana usiku paliwaka moto kwani Liverpool ilikuwa imeshajulikana inatolewa nje ya michuano ya Europa au 'Uefa ndogo' kwa msemo wa kitaa lakini la hasha...Kama umewahi kusikia timu inaitwa 'The Comeback Kings' basi jana hiko jina lilijulikana kama la Liverpool moja kwa moja...Mechi yao dhidi ya Dortmund haikuwa rahisi kabisa kwani Dortmund wamesimama na ndio walionza kufunga mabao...Liverpool mara 2 kwenye mechi hiyo walihitaji mabao matatu kufuzu...


Hali ilikuwa tete sana tena siku ambayo Liverpool walikuwa wanakumbuka miaka 27 iliyopita mashabiki 96 walipoteza maisha yao katika siku ya 'Hillsborough disaster'...Kabla mpira kuanza walitoa heshima kwa waliopoteza maisha kwa kukaa kimya kwa dakika 1...Dortmund walikuwa mbele mapema dakika ya 5 kupitia bao la Henrikh Mkhitaryan na muda mfupi badae Pierre-Emerick Aubameyang akapachika bao dakika ya 9...Mashabiki wakajua leo ndio bye bye lakini ngoma ikaendelea kuchezwa na Divock Origi aliwapa matumaini alipofunga baodakika ya 48...



Liverpool walianza kwa kushambuliwa sana na Dortmund ila badae waliweza kutulia na kucheza mpira wa maana...Reus wa Dortmund kwenye dakika ya 57 akapachika bao na kurudisha matumaini ya Liverpool nyuma....Dakika ya 60 Philippe Coutinho alifanikiwa kurudisha matumaini japi finyu lakini alibadelisha game...Dakika 10 baadda ya bao hilo Mamadou Sakho akapachika bao na sasa angalau matumaini yakarudi ingawa dakika zilikuwa zinayoyoma...


Dakika za lala salama umati wa the Kop uliruka juu kwa kushangilia sana baada ya bao la Dejan Lovren kutikisa nyavu....Kweli Liverpool imeshangaza hadi mashabiki kwa kuwa timu ambayo hata ikichapwa hurudisha mabao na kushinda...Bofya hapa upate habari zaidi.