Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the 🌎
Showing posts with label Mazoezi. Show all posts
Showing posts with label Mazoezi. Show all posts
Wednesday, 31 May 2017
Tuesday, 20 September 2016
MAZOEZI: WAZIRI WA ZAMANI PROF. MARK MWANDOSYA AKIFANYA MAZOEZI KATIKATI YA JIJI LA HYDERABAD HUKO INDIA
Eneo hilo limetengwa mahsusi kwasababu ya mazoezi na liko katikati ya jiji ni hifadhi ya Taifa pia.
Manthari yake ni safi na miti mingi yamezunguka eneo hilo linaloitwa K.B.R National Park.
Manthari yake ni safi na miti mingi yamezunguka eneo hilo linaloitwa K.B.R National Park.
Mazoezi ni kitu muhimu sana katika kulinda afya ya mwanadamu.
Mazoezi huhitaji discipline na moyo na huzuia magonjwa mengi sana ambayo yanaweza kusababisha madhara katika miili yetu.
Tujenge tabia ya kufanya mazoezi mara kwa mara hata kama hauwezi jaribu kutembea tu.
Subscribe to:
Posts (Atom)




