Showing posts with label Maji Maji. Show all posts
Showing posts with label Maji Maji. Show all posts

Thursday, 17 December 2015

YANGA: YANGA KILELENI BAADA YA KUICHAPA AFRICAN SPORTS



Yanga imerejea tena kilele baada ya kuichapa African Sports 1-0 ndani ya uwanja wa Mkwakwani...Kwa sasa Yanga ina points 27 na ikisubiri mechi kati ya Azam FC na Maji Maji huko Songea Jumamosi ijayo...Bofya hapa upate habari zaidi.