Showing posts with label Harrison Barnes. Show all posts
Showing posts with label Harrison Barnes. Show all posts

Monday, 6 June 2016

NBA FINALS 2016: WARRIORS WASHINDA GAME 2


Golden State Warriors wameshinda Game 2 kupitia Draymond Green...Warriors walibadilisha mkali wao na wakati huu Green alikuwa star wa Warriors kitu ambacho Cleveland Cavaliers hawakukioa na hawakutehemea....Green alimaliza akiwa na points 28 rebounds 7 na assists 5 huku Cavs wakibaki anashangaa tu...Golden State walishinda mechi 110-77...


Walichofanya Warriors ni kumwamini Green na kutupia mipira kibao ya 3 points na wala Cavs hawakushtukia kabisa huku Stephen Curry akicheza defensive game...Kipindi cha kwanza Kevin Love aliumizwa vibaya kichwani na Harrison Barnes na sasa Cavs wamemkosa mtu ambae anawasaidia sana...Bofya hapa upate habari zaidi.

Thursday, 26 November 2015

NBA: STEPHEN CURRY NA GOLDEN STATE WAMEWEKA REKODI MPYA NBA



Rekodi mpya imewekwa na Golden State Warriors kwa kuwa na ushindi mkubwa bila kufungwa...Golden State waliweka historia hiyo baada ya kuwafunga LA Lakers 111-77 na kuwa timu ambayo imeshinda mechi 16 bila kufungwa...Golden State mwaka huu wamekuwa moto sana na imekuwa timu ambayo inawafunga wenzake kwa wastani wa points 15.6 zaidi...


Stephen Curry amekuwa matata sana akiwa na wenzake ambao wote wamepewa jina la "death lineup" yaani mstari wa kifo ambao ni balaa...Wako wakina Klay Thompson, Harrison Barnes, Iguodala na Draymond Green...Bofya hapa upate habari zaidi.