Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the 🌎
Showing posts with label Beckham. Show all posts
Showing posts with label Beckham. Show all posts
Saturday, 19 November 2022
Monday, 7 December 2015
FIFA WORLD CUP: DAVID BECKHAM ATETEA QATAR 2022
Mchezaji maarufu na star wa zamani wa Manchester United, David Beckham, amesema Qatar 2022 iendelee hata kama kuna issue za rushwa...Beckham amesema nchi ambazo hazijawahi kupata fursa ya kuchezesha World Cup zipewe kipaumbele...Qatar na urusi hivi karibuni zimekuwa kwenye vyombo vya habari sana kutokana na issue za rushwa na pia wako hatiani kunyang'anywa uwenyeji wa World Cup...Wote urusi na Qatar wamekanusha kujihusisha na rushwa kwenye kuchagua nchi gani iwe mwenyeji...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Posts (Atom)

