Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the 🌎
Showing posts with label World Cup 2018. Show all posts
Showing posts with label World Cup 2018. Show all posts
Monday, 21 May 2018
Tuesday, 17 November 2015
WORLD CUP 2018: YANNICK BOLASIE AISOGEZA CONGO
Mchezaji wa Crystal Palace, Yannick Bolasie, ameipeleka DR Congo mbele baada ya kupachika bao la penalty...DR Congo walisogea mbele kwa aggragate ya 5-4 dhidi ya Burundi...Nchi nyingine zilizosonga na kuingia kweye groups ni Uganda, Zambia na Morocco...Wamewafuata Gabon ambao ndio waliokuwa wa kwanza kuingia kwenye groups...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Posts (Atom)


