Showing posts with label Ozil. Show all posts
Showing posts with label Ozil. Show all posts

Thursday, 19 December 2019

MESUT OZIL OMMITED IN CHINESE VERSION OF PES 2020


PES franchise in China which is published by NeEase has confirmed that it will remove Merit Ozil in all three existing games...

Thursday, 20 October 2016

Monday, 30 November 2015

EPL: ARSENAL YASHINDWA KUWAFIKIA MAN CITY BAADA YA KUTOKA DRAW NA NORWICH


Arsenal imeshindwa kupata points 3 ambazo zingeinyanyua timu iwe sawa na Manchester City baada ya kutoka sare na Norwich...Arsenal walicheza vizuri sana na kwa akili lakini hawakuwa makini upande wa nyuma hasa kushoto na kufanya Norwich wapate point 1...Arsenal imepata majeruhi ambao ni muhimu sana na itaisumbua club kidogo...


Walioumia ni Laurent Koscielny na Alexis Sanchez...Midfielder Mesut Ozil alijitaidi sana kwenye mechi hiyo na kufanikisha asilimia 98.5 ya pasi zake akiwa pia na 5 shots...Bofya hapa upate habari zaidi.