Showing posts with label Jo-Wilfred Tsonga. Show all posts
Showing posts with label Jo-Wilfred Tsonga. Show all posts

Monday, 5 September 2016

US OPEN 2016: KYLE EDMUND STOPPED BY NOVAK DJOKOVIC


Kyle Edmund's run has come to a grand halt by world number 1 Novak Djokovic...Djokovic beat Edmunds 6-2 6-1 6-4 while showing he is back on form...Edmunds who is number 84 defeated two top seeds for the first time in his carrier but this time he was out classed from the start by Djokovic...Djokovic is going to face Jo-Wilfred Tsonga in the last 8.

Monday, 4 July 2016

WIMBLEDON 2016: JO-WILFRED TSONGA ASHINDA MECHI KALI SANA ULIYOCHUKUA MASAA ZAIDI YA 4


Siku ya Jumapili huwa ni siku ya kupumzika lakini kwa Wimbledon waliamua wachezaji wacheze tennis kutokana na ratiba kuvurugika kwasababu ya mvua...Mvua ya England huwa haitabiriki kabisa na kwasababu hiyo mashabiki walipata show kali ambayo hawakutegemea...Jo-Wilfred Tsonga alimchapa John Isner kutoka Amerika katika mechi iliyochukua masaa 4 na dakika 24...


Set ya 5 ndiyo iliyokuwa kali kwani Tsonga alishinda set hiyo 19-17...Tsonga alishinda kwa score ya ujumlwa 6-7 (3-7) 7-6 (7-5) 6-2 19-17...Tsonga atakutana na Richard Gasquet round ya 4 Jumatatu...Bofya hapa upate habari zaidi.